Pages

Monday, January 29, 2018

FAIDA ZA BAMIA KATIKA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME

FUNGUA hiyo video ili ujionee faida ambazo zinzpatikana katika matumizi ya bamia kwa wanaume kwa kuongeaza nguvu za kiume na hata kwa wanawake wazee pamoja na watoto.

JAJI KISANGA AKIAGWA KATIKA KANISA LA KKKT

JIONEE JINSI JAJI KISANGA ALIVYOAGWA KWA HESHIMA ZOTE KATIKA KANISA LA KKKT

DIVA AKIRI KUWA ANATUMIKA KIMAPENZI

FUNGUA ujione jinsi diva the boss alivyokubali kuwa anatumika kimapenzi kuwanufaisha na kuwafanya kuwa mastaa na baadaye kumwacha solemba,

AJAJI YA MELI KUWAI TOKEA

FUNGUA ujionee ajali mbaya kuwahi tokea majini na hata kusababisha vifo vya watu wengi baharini

POVU LA DKT SLAA BAADA YA KUTOKA IKULU

FUNGUA ujionee jinsi dkt slaa alivyofanya mazungumzo na raisi magufuli huko ikulu leo

WEMA AMUITA MPENZI WAKE ON STAGE ''DAIMOPND PLATINUM

jionee jinsi wema sepetu alivyomuita on stage mpenzi wake wa zamani daimond na kumkumbatia kama wapenzi wa kawaida ''' amakweli nimekula asali udogoni lakini utamu mpaka gegoni fungua ujionee mwenyewe

Thursday, January 25, 2018

HATUNA TUNACHOJUTIA ''' MKURUGENZI WA TBA'''


FUNGU KATIKA VIDEO HAPO CHINI ILI KUSIKIA MANENO YA MKURUGENZI WA TBA KUHUSU SWALA HILI..                                      .

MWANAMKE ALIYEKUFA GESTI HUKO MOROGORO


Fungua ujue kisa na mkasa kilichomtokea dada huyu huko morogoro na nani anahusika na tukiohilo,Fungua hapo chini kwa habari zaidi. 

MAZISHI YA MAMA YETU WA KIROHO '''MAMA YAKE GWAJIMA''


Kila mwanadamu katika dunia hii safari yetu ya mwisho ni kwemda huko juu mbinguni na leo hii tumekumbwa na pigo kubwa la kumuaga kwa safari yake ya kwenda mbinguni mama yetu wa kiroho ''MAMA YAKE GWAJIMA ''   Fungua hapo chini.

PENZI LA UJAMBAZI


Katika maisha ya kila mwanadamu hapa duniani kila mtu anahistoria ya vitu vilivyomtokea msibu amakumtokea pindi anapoishi katika dunia hii ni story ya mwanadada aliyeishi katika mapenzi na jambazi pasipo kujua fungua hiyo video hapo upate fununu nzima.

Wednesday, January 24, 2018

NYIMBO MPYA NGUZA VIKI NA SEYA

kwa takribani miaka mingi ambayo hatuwa nao wagwiji hawa wa muziki huu wa wazee wa watuazima Nguza viki naseya sasa wako mbioni kwa kuachia ngoma yao mpya ,fungua hapo kujua kwa undani zaidi juu ya kibao hicho kikali.

VYAKULA VINAVYOSABABISHA VIDONDA VYA TUMBO

Fungua video hapo chini ili kujua ni vyakula gani hapo chini vilivyoelezewa ili kuviepuka kwakuwa unaweza kukuta unatumia dawa kila wakati na kila aina tofauti yya dawa na bila maendeleo yoyote ile sas fungua iliupate maelekezo zaidi.         

Tuesday, January 23, 2018

DAWA YA WADUDU MASHAMBANI

ANGALIA na jifunze njia mpya au dawa mpya ambayo itakusaidia katika kulinda mazao yako mashambani.

HAIJAWAHI KUTOKEA MAAJABU AYA MTOTOT HUYU

Angalia video hii hapo chini ujionee ni jinsi gani binadamu katika dunia hii tunavyoumba na maajabu tangia utotoni.

VYANDARUA NA NGUVU ZA KIUME

Angalia video hii kuondoa imani potofu kuw aeti vyandarua vinamaliza nguvu za kiume.
          

MH MWAKYEMBE AKISIFIA SIMBA MBELE YA UMMA KWA USHINDI MNONO


 Jionee jinsi mwakyembe mbele ya umma alivyopongeza timu ya simba sports club kwa ushindi mnono kwa bao 4-0 dhidi ya singida,na kuwataka kotubweteka katika  michuano yao.                                                                                                                        

VYAKULA VINAVYOPUNGUZA NGUVU ZA KIUME

Angalia full video upate elimu itakayo kuwezesha kupata elimu ni juu ya vyakula gani na ni kwa nn hususani ni vyakula hivi ndo viwe kisababushi kikuu cha kukupunguzia nguvu za kiume.

Sunday, January 14, 2018

WANAUME KUFANYA MAPENZI ASUIBUHI

Angalia full video na utambue sababu za kitaalamu ni kwa nini wanaume tunapendelea hususani kwa wakati wa asubuhi kufanya tendo la ndoa.

ZOEZI LA KUONGEZA NGUVU ZA KIUMME

Angalia full video jinsi ya kujifunga ni jinsi gani utaweza kuongeza nguvu zako za kiume.
                                      

Thursday, January 11, 2018

TATIZO SUGU LA KUTOA HARUFU MBAYA UKENI

Tambua sababu na tatua zaidi tatizo lako sugu la kutokwa harufu mbaya ukeni kwa kufungua kufungua hiyo video hapo chini                                    

TUNACHOKIPENDA KUTOKA KWA WANAWAKE

Wanaume tunapenda wanawake na sio bora wanawake hususani zaidi kwa usawa huu tulio nao mgumu na kutokana na hivyo nikaamua kuwaandalia video hii ili tupeane uhalisisa wa nn wanaume tunahitaji mostly, fungua video hapo chini
 

Tuesday, January 9, 2018

MWONGEZE NYEGE MWANAMKE KWA HARAKA


 HABARI ,hii hapa leo ni mada ya mapenzi ambayo ni mahususani zaidi kwa wanandoa na wapendanao aambayo itawafanya mlidumishe kwa maradufu tendo la ndoa ,nisiwamalizie uhondo bali fungueni wenyewe mjifunze ni vitu gani vya kumfanya mwanamke apagawe na tendo la ndoa.                                             

WANAWAKE WANATAKA HIVI VITU KUTOKA KWA WANAUME

         Wanawake ni binadamu ambao niwametoka katika ubavu wetu wa kushoto kama maandiko yalivyoandika kwa imani yetu sisi wakristu ila sitakii tuingie sanaa kwenye mambo ya imani ila dhumuni langu kusema hivi ni kwa ,wanawake ni viumbe ni vigumu sana kuwatambua ufahamu wake kirahisi rahisi kuliko sisi wanaume na kwanini nasema hivi ni kulingana na mada yetu ya leo ,wanawake ni viumbe ambao huwa wanapenda kufanyiwa vitu vizuri pasipo wao kukuambia wewe mwanaume sasa najua unakiu na mwamko mkubwa wa kutaka kujua ni vitu gani hivyo mwanamke anapenda  kufannyiwa  FUNGUA video hapo chini.                                                                                                                                        

Monday, January 8, 2018

KILIO KWA WASANII WETU

  Inanishangaza sana kwa wasanii wetu wa kizazi hiki kwa kuwa nyimbo nyingi zimekuwa na mahudhui ambayo hayapo katika tamaduni zetu na kinachonishangaza zaidi ni kwamba hatua zikichukuliwa wanaanza kuona kama wanaonewa ila sina mengi ya kusema labda ujionee mwenyewe ni nini ambacho nakiongelea kwa kufungua video hapo chini                                                                                                                                                                         

Sunday, January 7, 2018

WASANII WETU TANZANIA NA MIZIKI YETU

                 Wasalamu sana ,leo ni ujumbe ambao umekuwa ni kilio kikubwa kwa watanzania nikimaanisha wazee vijana na hata waototo, hata kama sawa ni usawa wa utandawazi ila kila kitu ambacho unakifanya katika maisha haya jua kabisa kuna watu kumi kenda wanakufata kila nyayo na kwa kila mwongozo wowote ule wa wewe msanii ,kwanini nimeandika mada hii dhumuni langu kuu ni kuuambia wanamziki kujaribu kuimba nyimbo ambazo zinamantiki na maudhuhi ambayo hata miaka ijayo takumbukwa kwa mashairi yake mazuri na ambayo inaweza kuwa ni fundisho katika jamii au ni mwongozo katika jamii ila sijaegemea upande wowote ule ,nikimaanisha sio kwa wasafi ,weusi wabaya ,wazuri au wowote wale ila nachopenda kusema ni kwamba nyimbo za kizazi hiki zije kukumbukwa na hata kueshimika kwa miaka 20 au 30 ijayo ila sio kwa nyimbo kama  hizi ,fungua video hapo chini ili japo muelewe namaanisha nn.......
                               

ONGEZA UUME NA NGUVU KWA KUTUMIA NDIZI MBIVU

       Habari, kwa kawaida kila chakula kina faida na umuhimu mkubwa katika mwili wa binadamu na hata vingine vikitumiwa kwa mara nyingi zaidi katika mzunguko wa binadamu kwa siku nzima unaweza ukamplelekea kupata mabadiliko ambayo yanaweza kumletea manufaa makubwa ,na leo chakula chetu au naweza kukitaja kama ni kiungio vile vile ni ndizi ,Ndizi ina nishati au madini mengi ambayo ni muhimu katika mwili wa binadamu katika ukuaji na uzalishaji wa nguvu na mjongeo katika ,mwili wa binadamu ,bila kupoteza wakati jifunze zaidi kupitia video ambayo nimeiwekja hapo chini ili ujue ni nishati gani zina hitajika na kwa manifaa gani katika ukuaji wa nguvu na hata maumbile yako ya kiume
                       

ONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA TANGAWIZI

               Wasalam sana ,hapa tutazungumzia kwa ufupi jinsi gani tangawizi inavyoweza kukuongezea mabadiliko na mafanikio katika nguvu zako za kiume na pia kurudisha heshima katika ndoa yako ,pia nimeandaa maelezo amabayo jinsi ya kutumia kiungo hiki ila cha muhimu kabla hatuja kuelekeza ni jinsi gani ya kututmia ,nitoe jambo ambalo nila kuzingatia kabla ya kutumia kiungo hiki ni ,lazima uwe unafanya mazoezi ya viungo kila uamkapo ,nikimaanisha hakikisha unakimbia japo umbali wa mita200 mara 2 kila siku hii ni kwa sababu kamwe usipofanya mazoezi hutoweza kuupa mwili au kuuweka mwili wako katika kuondoa maradhi uliyonayo na kuupokea dawa kwa ajili ya kwenda kufanya kazi katika mwili .Bila kupoteza wakati fungua hiyo video hapo chini ili ujue ni jinsi gani ya kutumia tangawizi.
           

Friday, January 5, 2018

WARITHI WA WCB

   kwa kawaida katika maisha yetu ya kila siku kuna misemo mingi ya wahenga ila kwa msemo huu bila shaka umetimia katika macho kwa kuuona ukitimia ''MTOTO WA NYOKA NI NYOKA''na hii imejirihirisha dhahiri baada ya watoto wa zari kuperfom vilivyo kwa kuuimba wa daimond platinum bila hata kuukosea hata nukta moja  na kutuacha midomo wazi na kuutupa matumaini na mwangaza kuwa  WCB  inaweza kuendelea milele kwa wasanii chipukizi kuuendeleza mziki wetu juu zaidi ,bila shaka nisikumalizie uhondo jionee kwa kubonyeza video hapo chini.
                                                                                                                                                                              

Monday, January 1, 2018

VIONJO VYA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME WAKATI WA MAPENZI

       habari,hapa nimewaandalia video fupi ambayo itakufundishwa na kukuelezea ni vionjo gani ambavyo ukivitumia vinaweza kukusaidia kupata nguvu za kiume na hamasa ya kutosha wakati wa kufanya mapenzi na mwenzi wako.fungua video hapo chini
                                       

ELIMU YA UTOKAJI WA MIMBA


            Hapa tunazungumzia mambo ambayo yamekuwa yakiwasumbua wanawake wengi na katika jamii nyingi ila kwakupitia video hii itakupa maelekezo ya kutosha na pia hata pia kukuelimisha ni jinsi gani ya kukabiliana na hata kutokomeza tatizo hili la utokaji wa mimba <abortion>