Thursday, May 24, 2018
DAWA YA KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI
Sunday, May 20, 2018
DAWA YA KUONDOA HARUFU MBAYA MAKWAPANI NK
Karinu tena katika vipindi vyangu mbali mbali vya afya na hapa nitazungumzia jinsi ya utengenezaji wa dawa ya kutoa kiarufu kikali na jasho la kupitiliza ,fungua video hapo chini ujifunze mwenyewe.
SABABU ZA MWANAMKE KUTOKUFIKA KILELENI
Habari mpendwa wangu mfuatiliaji wa mada mbali mbali za channel ya Bongo Event tv ,na leo nimekuandalia mada ambayo itakusaidia kujua visababishi ambayo vitakufanya na pia hata kukupelekea kutokukufikisha kileleni, Fungua hiyo video hapo ili ikupe muongozo mzuri.
Tuesday, May 1, 2018
MANENO YA ZITTO KABWE KUHUSU KUTOPANDISHWA MISHAHARA TANZANIA
Maneno haya ambayo Mh Zitto Kabwe yamekuja na kuleta taswira mpya baada ya aliyekuwa raisi wa awamu ya tano Dkt John Magfuli baada ya kutoa kauli ambayo iliyokuwa inahusu kuongeza kwa mishahara kwa wafanyakazi wa serikali na kuleta taswira mpya kiujumla,fungua video hapo chin
MANENO MAZITO YALIYOMFANYA MAGUFULI ACHUKUWE HATUA HIZI
Haya ndio maneno makuu ambayo na mazito ambayo yamemfanya Raisi wetu wa awamu ya tano Dkt John pombe Magufuli kufanya jambo hili ambalo limewashangaza na kuwastaajabisha mamia ya watu katika siku hii, Je watakakujua ni jambo gani hilo lililofanyika FUNGUA hiyo video hapo chini.
Monday, April 23, 2018
DAWA YA KUONDOA MADOA MEUSI KWA HARAKA ZAIDI
Habari nzuri hii nakuletea mfuatiliaji wangu mzuri wa mada mbalimbali zinazohusiana na afya zetu na hii nimekuletea mada yenye video ambayo itakuwezesha kujua na kujifinza jinsi ya kutengeneza dawa mbadala kwa ajili ya kuondoa madoti doti meusi ambayo yamekuwa ni kilio kikubwa kwa madada zetu na hata pia kwa makakakwa ujumla sasa fungua video hapo chini ili ujifunze njia hii rahisi na mbadala.
Friday, February 16, 2018
DAWA YA KUNGARISHA USO [ACHANA NA CARORITE]
DAIMOND KAFUNGUKA KHUSU KUACHWA KWAKE NA ZARI
Finaly kwa ukimya mwingi wa daimond platinum finaly kafunguka lililoko rohoni baada ya kuachwa na zari the boss lady,fungua hapo chini ujionee daimond alichofunguka.
HUWEZI KUAMINI KILICHO TOKEA
Katika maisha yetu ya kila siku huwa ni vigumu kuamini jambo la kuambiwa ila mpaka ushuhudie mwenyewe na katika video hiyo hapo chinoi utaona vitu ama maajabu ambayo yanafanywa na wanadamu na sio rahisi kufanywa na mtu mwingine.
MAGUFULI AMEMUAPISHA DKT SLAA KUWA BALOZI WA SWEDEN
Hivi leo raisi wa awamu ya tano Dkt john magufuli amemuapisha Dkt slaa kuwa balozi wa sweden.fungua hapo chini ujionee jinsi alivyokuwa anakula kiapo na kuapishwa.
TUSI LA DAIMOND KWA RAYVAN KUHUSU MAPENZI YAKE NA ZARI
Baada ya skendo hii inayotredi mtandaoni ambayo inawahusu wapenzi wawili ambao ni mastaa wakubwa ambao ni daimond na zari kuachana na kuacha watu wengi kutaamaki na kujiuliza tatizo ni nn ,ila sio kila mtu amependezwa na jambo hili na hata kupelekea rayvan kutaka kurudisha wapenzi hawa kurudiana na kuwa pamoja ila hili ndilo jibu kali alilolitoa daimond kwa rayvan ,fungua tu hapo chini na utaujua kilichotokea ni nn?
KAMPENI ZA CCM ZIKIMALIZIKA HAPA KINONDONI
Leo ndio siku ya mwisho ya kufanya kampeni ambapo kwa chama cha mapinduzi CCM yamemalizika rasmi katika maeneo ya kinondoni biafra kwa mgombea kujinadi katika chama chake ambaye ni bwana Mtulila.
Wednesday, February 14, 2018
ZARI ACHANA NA DAIMOND PLATINUM RASMI
HII ni baada ya uvumi mwili na skendo myingi katika midea ambazo zimekuwa kila siku zikimzungumzia daimond platinum na mambo mbali mbali ambayo anakuwa anashutumiwa na hata mengineyo ambayo anayo anayanya yamempelekea zari the boss lady kutoa matamshi haya mazito.
HUYU NDIYE ALIYEMPA MSAADA LISSU BAADA TU YA KUPIGWA RISASI TOKA SERIKALINI
Siri yafichuka ambayo imeshangaza watu wengi juu ya aliyetoa msada wa kwanza pindi tu mbunge wa wetu Tundu Lissu na kuokoa maisha yake kabla hajafikishwa hospitalini kwa ajili ya matibabu zaidi sasa fungua hapo chini kumjua nani huyo toka katika serikali yetu hii ambaye amempa msaada.
Tuesday, February 13, 2018
DAWA YA KUONDOA NYWELE ,MAPERE NA WEUSI KATIKA SEHEMU ZA SIRI
Fungua ujionee na kujifunza ni jinsi gani ya kutengeneza dawa hii ili uweze kupata nafuu kwa tatizo .
MWAKA HUU NAPATA MTOTO ;; DIVA THE BOSS
Fungua ujionee na kusikia alichokiongea diva the boss kuhusu swala la kheri la kupata mtoto.
NIMEKUBALI KULEA MTOTO WA MOBETO '' DAIMOND PLUTINUM''
Baada ya kupanda kizimbani kwa mara mbili ,mwishowe kumewafanya mabadiliko na kuwafanya wawili hao kukaa chini na kuwa kitu kimoja na kuamua kuchukua uwamuzi ambao umawafanya kufika tamati katika kesi yao ambayo ilikuwa ikirindima mahakani ,fungua hapo chini ujionee na kusikia maneno ya daimond plutinu m kukubali uwamuzi na kufanya jambo la busara zaidi fungua
DAWA YA KUKUZA NA KUKAZA MATITI KWA WANAWAKE
Hapa tumekuandalia dawa ambayo itawasaidia akina mama na hata akina dada walio wengi kutokana na kilo kikubwa ambacho ni kuwa matiti kushuka na mwishowe kuwafanya akina mama na akina dada walio wengi kuanza tabia ya kubusti matiti yao kutokana na kupoteza maumbile yao ya awali ya matiti ,lakini siku zote linalokuwa na mwanzo halikosi kuwa na mwisho sasa fungua video hapo chini na ufuatilie kwa makini na itakusaidia kuokoa na hata kurudisha maumbile yako mazuri ya matiti.
ADHABU KALI ALIYOPEWA JUMA NYOSSO NA TFF
Fungua na ujionee adhabu ambayo amepewa JUMA NYOSSO kutokana na adhabu ambayo alipewa na shirika la mpira wa miguu TFF pamoja na mengineyo mengi ambayo utayajua baada ya kufungua video hapo juu
Saturday, February 10, 2018
HIVI NDILO TIMBWILI LA NYANI KAMA HUJAWAHI KULIONA
DAWA YA ASILI YA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME
HAPA NDIPO WANAWAKE WANAPOPATA UKIMWI
Monday, January 29, 2018
FAIDA ZA BAMIA KATIKA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME
JAJI KISANGA AKIAGWA KATIKA KANISA LA KKKT
DIVA AKIRI KUWA ANATUMIKA KIMAPENZI
AJAJI YA MELI KUWAI TOKEA
POVU LA DKT SLAA BAADA YA KUTOKA IKULU
WEMA AMUITA MPENZI WAKE ON STAGE ''DAIMOPND PLATINUM
Thursday, January 25, 2018
HATUNA TUNACHOJUTIA ''' MKURUGENZI WA TBA'''
MWANAMKE ALIYEKUFA GESTI HUKO MOROGORO
MAZISHI YA MAMA YETU WA KIROHO '''MAMA YAKE GWAJIMA''
Kila mwanadamu katika dunia hii safari yetu ya mwisho ni kwemda huko juu mbinguni na leo hii tumekumbwa na pigo kubwa la kumuaga kwa safari yake ya kwenda mbinguni mama yetu wa kiroho ''MAMA YAKE GWAJIMA '' Fungua hapo chini.
PENZI LA UJAMBAZI
Wednesday, January 24, 2018
NYIMBO MPYA NGUZA VIKI NA SEYA
kwa takribani miaka mingi ambayo hatuwa nao wagwiji hawa wa muziki huu wa wazee wa watuazima Nguza viki naseya sasa wako mbioni kwa kuachia ngoma yao mpya ,fungua hapo kujua kwa undani zaidi juu ya kibao hicho kikali.
VYAKULA VINAVYOSABABISHA VIDONDA VYA TUMBO
Fungua video hapo chini ili kujua ni vyakula gani hapo chini vilivyoelezewa ili kuviepuka kwakuwa unaweza kukuta unatumia dawa kila wakati na kila aina tofauti yya dawa na bila maendeleo yoyote ile sas fungua iliupate maelekezo zaidi.
Tuesday, January 23, 2018
DAWA YA WADUDU MASHAMBANI
ANGALIA na jifunze njia mpya au dawa mpya ambayo itakusaidia katika kulinda mazao yako mashambani.
HAIJAWAHI KUTOKEA MAAJABU AYA MTOTOT HUYU
Angalia video hii hapo chini ujionee ni jinsi gani binadamu katika dunia hii tunavyoumba na maajabu tangia utotoni.
VYANDARUA NA NGUVU ZA KIUME
Angalia video hii kuondoa imani potofu kuw aeti vyandarua vinamaliza nguvu za kiume.
MH MWAKYEMBE AKISIFIA SIMBA MBELE YA UMMA KWA USHINDI MNONO
VYAKULA VINAVYOPUNGUZA NGUVU ZA KIUME
Angalia full video upate elimu itakayo kuwezesha kupata elimu ni juu ya vyakula gani na ni kwa nn hususani ni vyakula hivi ndo viwe kisababushi kikuu cha kukupunguzia nguvu za kiume.
Sunday, January 14, 2018
WANAUME KUFANYA MAPENZI ASUIBUHI
Angalia full video na utambue sababu za kitaalamu ni kwa nini wanaume tunapendelea hususani kwa wakati wa asubuhi kufanya tendo la ndoa.
ZOEZI LA KUONGEZA NGUVU ZA KIUMME
Angalia full video jinsi ya kujifunga ni jinsi gani utaweza kuongeza nguvu zako za kiume.
Thursday, January 11, 2018
TATIZO SUGU LA KUTOA HARUFU MBAYA UKENI
Tambua sababu na tatua zaidi tatizo lako sugu la kutokwa harufu mbaya ukeni kwa kufungua kufungua hiyo video hapo chini
TUNACHOKIPENDA KUTOKA KWA WANAWAKE
Wanaume tunapenda wanawake na sio bora wanawake hususani zaidi kwa usawa huu tulio nao mgumu na kutokana na hivyo nikaamua kuwaandalia video hii ili tupeane uhalisisa wa nn wanaume tunahitaji mostly, fungua video hapo chini
Tuesday, January 9, 2018
MWONGEZE NYEGE MWANAMKE KWA HARAKA
HABARI ,hii hapa leo ni mada ya mapenzi ambayo ni mahususani zaidi kwa wanandoa na wapendanao aambayo itawafanya mlidumishe kwa maradufu tendo la ndoa ,nisiwamalizie uhondo bali fungueni wenyewe mjifunze ni vitu gani vya kumfanya mwanamke apagawe na tendo la ndoa.
WANAWAKE WANATAKA HIVI VITU KUTOKA KWA WANAUME
Wanawake ni binadamu ambao niwametoka katika ubavu wetu wa kushoto kama maandiko yalivyoandika kwa imani yetu sisi wakristu ila sitakii tuingie sanaa kwenye mambo ya imani ila dhumuni langu kusema hivi ni kwa ,wanawake ni viumbe ni vigumu sana kuwatambua ufahamu wake kirahisi rahisi kuliko sisi wanaume na kwanini nasema hivi ni kulingana na mada yetu ya leo ,wanawake ni viumbe ambao huwa wanapenda kufanyiwa vitu vizuri pasipo wao kukuambia wewe mwanaume sasa najua unakiu na mwamko mkubwa wa kutaka kujua ni vitu gani hivyo mwanamke anapenda kufannyiwa FUNGUA video hapo chini.
Monday, January 8, 2018
KILIO KWA WASANII WETU
Inanishangaza sana kwa wasanii wetu wa kizazi hiki kwa kuwa nyimbo nyingi zimekuwa na mahudhui ambayo hayapo katika tamaduni zetu na kinachonishangaza zaidi ni kwamba hatua zikichukuliwa wanaanza kuona kama wanaonewa ila sina mengi ya kusema labda ujionee mwenyewe ni nini ambacho nakiongelea kwa kufungua video hapo chini
Sunday, January 7, 2018
WASANII WETU TANZANIA NA MIZIKI YETU
Wasalamu sana ,leo ni ujumbe ambao umekuwa ni kilio kikubwa kwa watanzania nikimaanisha wazee vijana na hata waototo, hata kama sawa ni usawa wa utandawazi ila kila kitu ambacho unakifanya katika maisha haya jua kabisa kuna watu kumi kenda wanakufata kila nyayo na kwa kila mwongozo wowote ule wa wewe msanii ,kwanini nimeandika mada hii dhumuni langu kuu ni kuuambia wanamziki kujaribu kuimba nyimbo ambazo zinamantiki na maudhuhi ambayo hata miaka ijayo takumbukwa kwa mashairi yake mazuri na ambayo inaweza kuwa ni fundisho katika jamii au ni mwongozo katika jamii ila sijaegemea upande wowote ule ,nikimaanisha sio kwa wasafi ,weusi wabaya ,wazuri au wowote wale ila nachopenda kusema ni kwamba nyimbo za kizazi hiki zije kukumbukwa na hata kueshimika kwa miaka 20 au 30 ijayo ila sio kwa nyimbo kama hizi ,fungua video hapo chini ili japo muelewe namaanisha nn.......
ONGEZA UUME NA NGUVU KWA KUTUMIA NDIZI MBIVU
Habari, kwa kawaida kila chakula kina faida na umuhimu mkubwa katika mwili wa binadamu na hata vingine vikitumiwa kwa mara nyingi zaidi katika mzunguko wa binadamu kwa siku nzima unaweza ukamplelekea kupata mabadiliko ambayo yanaweza kumletea manufaa makubwa ,na leo chakula chetu au naweza kukitaja kama ni kiungio vile vile ni ndizi ,Ndizi ina nishati au madini mengi ambayo ni muhimu katika mwili wa binadamu katika ukuaji na uzalishaji wa nguvu na mjongeo katika ,mwili wa binadamu ,bila kupoteza wakati jifunze zaidi kupitia video ambayo nimeiwekja hapo chini ili ujue ni nishati gani zina hitajika na kwa manifaa gani katika ukuaji wa nguvu na hata maumbile yako ya kiume
ONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA TANGAWIZI
Wasalam sana ,hapa tutazungumzia kwa ufupi jinsi gani tangawizi inavyoweza kukuongezea mabadiliko na mafanikio katika nguvu zako za kiume na pia kurudisha heshima katika ndoa yako ,pia nimeandaa maelezo amabayo jinsi ya kutumia kiungo hiki ila cha muhimu kabla hatuja kuelekeza ni jinsi gani ya kututmia ,nitoe jambo ambalo nila kuzingatia kabla ya kutumia kiungo hiki ni ,lazima uwe unafanya mazoezi ya viungo kila uamkapo ,nikimaanisha hakikisha unakimbia japo umbali wa mita200 mara 2 kila siku hii ni kwa sababu kamwe usipofanya mazoezi hutoweza kuupa mwili au kuuweka mwili wako katika kuondoa maradhi uliyonayo na kuupokea dawa kwa ajili ya kwenda kufanya kazi katika mwili .Bila kupoteza wakati fungua hiyo video hapo chini ili ujue ni jinsi gani ya kutumia tangawizi.
Friday, January 5, 2018
WARITHI WA WCB
kwa kawaida katika maisha yetu ya kila siku kuna misemo mingi ya
wahenga ila kwa msemo huu bila shaka umetimia katika macho kwa kuuona
ukitimia ''MTOTO WA NYOKA NI NYOKA''na hii imejirihirisha dhahiri baada
ya watoto wa zari kuperfom vilivyo kwa kuuimba wa daimond platinum bila
hata kuukosea hata nukta moja na kutuacha midomo wazi na kuutupa
matumaini na mwangaza kuwa WCB inaweza kuendelea milele kwa wasanii
chipukizi kuuendeleza mziki wetu juu zaidi ,bila shaka nisikumalizie
uhondo jionee kwa kubonyeza video hapo chini.
Monday, January 1, 2018
VIONJO VYA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME WAKATI WA MAPENZI
habari,hapa nimewaandalia video fupi ambayo itakufundishwa na kukuelezea ni vionjo gani ambavyo ukivitumia vinaweza kukusaidia kupata nguvu za kiume na hamasa ya kutosha wakati wa kufanya mapenzi na mwenzi wako.fungua video hapo chini
ELIMU YA UTOKAJI WA MIMBA
Subscribe to:
Comments (Atom)